Hesabu 14:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Yehova, “ikiwa sitawafanyia ninyi vile ambavyo mmesema masikioni mwangu!+ Hesabu 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa hesabu ya siku mlizoipeleleza nchi hiyo, siku 40,+ siku moja kwa mwaka mmoja, siku moja kwa mwaka mmoja,+ mtajibu kwa sababu ya makosa yenu miaka 40,+ kwa maana lazima mjue maana ya mimi kutenganishwa nanyi.+
28 Waambie, ‘ “Kama ninavyoishi,” asema Yehova, “ikiwa sitawafanyia ninyi vile ambavyo mmesema masikioni mwangu!+
34 Kwa hesabu ya siku mlizoipeleleza nchi hiyo, siku 40,+ siku moja kwa mwaka mmoja, siku moja kwa mwaka mmoja,+ mtajibu kwa sababu ya makosa yenu miaka 40,+ kwa maana lazima mjue maana ya mimi kutenganishwa nanyi.+