2 Na wana wote wa Israeli wakaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusanyiko lote likaanza kusema dhidi yao: “Laiti tungalikufa katika nchi ya Misri, au laiti tungalikufa katika nyika hii!
64 Lakini kati ya hao hakukuwa na mtu kati ya wale walioandikishwa na Musa na Haruni kuhani wakati ambapo waliwaandikisha wana wa Israeli katika nyika ya Sinai.+
11 ‘Wanaume waliotoka Misri kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi+ hawatauona udongo ambao niliwaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo,+ kwa sababu hawakunifuata kabisa,