Kutoka 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wana wa Israeli wakala mana miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi inayokaliwa.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+ Yohana 6:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mababu zetu walikula mana+ nyikani, kama vile ambavyo imeandikwa, ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’ ”+ Yohana 6:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Mababu zenu walikula mana+ nyikani na bado wakafa.
35 Nao wana wa Israeli wakala mana miaka 40,+ mpaka walipofika katika nchi inayokaliwa.+ Walikula mana mpaka walipofika mpakani mwa nchi ya Kanaani.+
31 Mababu zetu walikula mana+ nyikani, kama vile ambavyo imeandikwa, ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’ ”+