12 Ndipo mana ikaacha kuanguka siku iliyofuata walipokuwa wamekula mazao ya nchi, wala mana haikuja tena kwa ajili ya wana wa Israeli,+ nao wakaanza kula mazao ya nchi ya Kanaani mwaka huo.+
15 Nawe ukawapa mkate kutoka mbinguni kwa ajili ya njaa yao,+ na kutoka katika mwamba ukawaletea maji kwa ajili ya kiu yao,+ nawe ukawaambia waingie+ na kuimiliki nchi ambayo kwa kiapo ulikuwa umeuinua mkono wako ili kuwapa.+