Kumbukumbu la Torati 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana. Nehemia 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kwa miaka 40+ ukawapa chakula nyikani. Hawakukosa chochote.+ Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba.+ Zaburi 78:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akaendelea kuwanyeshea mana ili wale,+Naye akawapa nafaka ya mbinguni.+ Yohana 6:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Mababu zenu walikula mana+ nyikani na bado wakafa.
2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.
21 Na kwa miaka 40+ ukawapa chakula nyikani. Hawakukosa chochote.+ Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba.+