33 Na wana wenu watakuwa wachungaji nyikani+ kwa miaka 40, nao watajibu kwa sababu ya matendo yenu ya uasherati,+ mpaka mizoga yenu itakapofikia mwisho wake nyikani.+
7 Kwa maana Yehova Mungu wako amekubariki wewe katika kila tendo la mkono wako.+ Anajua vema juu ya kutembea kwako katika nyika hii kuu. Miaka hii 40+ Yehova Mungu wako amekuwa pamoja nawe. Hukukosa kitu chochote.”’+