Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kwa miaka 40+ ukawapa chakula nyikani. Hawakukosa chochote.+ Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba.+

  • Zaburi 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+

      Sitakosa chochote.+

  • Zaburi 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwogopeni Yehova, enyi watakatifu wake,+

      Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+

  • Zaburi 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+

      Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+

  • Zaburi 37:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+

      Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+

      Wala uzao wake ukitafuta mkate.+

  • Wafilipi 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye Mungu wangu+ ataujaza kikamilifu uhitaji wenu wote+ kwa kadiri ya utajiri+ wake katika utukufu kwa njia ya Kristo Yesu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki