Nehemia 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kwa miaka 40+ ukawapa chakula nyikani. Hawakukosa chochote.+ Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba.+ Zaburi 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova ni Mchungaji wangu.+Sitakosa chochote.+ Zaburi 34:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwogopeni Yehova, enyi watakatifu wake,+Kwa maana wale wanaomwogopa hawakosi chochote.+ Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+ Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+ Wafilipi 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye Mungu wangu+ ataujaza kikamilifu uhitaji wenu wote+ kwa kadiri ya utajiri+ wake katika utukufu kwa njia ya Kristo Yesu.
21 Na kwa miaka 40+ ukawapa chakula nyikani. Hawakukosa chochote.+ Mavazi yao hayakuchakaa,+ wala miguu yao haikuvimba.+
10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+
25 Nilikuwa kijana, pia nimezeeka,+Na bado sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa kabisa,+Wala uzao wake ukitafuta mkate.+
19 Naye Mungu wangu+ ataujaza kikamilifu uhitaji wenu wote+ kwa kadiri ya utajiri+ wake katika utukufu kwa njia ya Kristo Yesu.