Zaburi 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hakika wema na fadhili zenye upendo zitanifuata siku zote za maisha yangu;+Nami nitakaa katika nyumba ya Yehova siku nyingi.+ Zaburi 84:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+ Luka 1:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na wale waliokuwa na mali amewaacha waende mikono mitupu.+
6 Kwa hakika wema na fadhili zenye upendo zitanifuata siku zote za maisha yangu;+Nami nitakaa katika nyumba ya Yehova siku nyingi.+
11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+
53 amewashibisha kabisa wenye njaa kwa vitu vyema+ na wale waliokuwa na mali amewaacha waende mikono mitupu.+