1 Samweli 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Walioshiba lazima wajikodishe kwa ajili ya mkate,+Lakini wenye njaa hakika hawapati njaa tena.+ Hata aliye tasa amezaa saba,+Lakini yeye aliyekuwa na wana wengi amedhoofika.+ Zaburi 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+ Zaburi 107:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ameishibisha nafsi iliyokauka;+Na nafsi yenye njaa ameijaza vitu vyema.+
5 Walioshiba lazima wajikodishe kwa ajili ya mkate,+Lakini wenye njaa hakika hawapati njaa tena.+ Hata aliye tasa amezaa saba,+Lakini yeye aliyekuwa na wana wengi amedhoofika.+
10 Wana-simba wenye manyoya shingoni wamekuwa na vichache na kukaa njaa;+Lakini kwa wale wanaomtafuta Yehova, hawatakosa chochote chema.+