Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye akaweka nadhiri,+ akisema: “Ee Yehova wa majeshi, ikiwa hakika utayaona mateso ya kijakazi+ wako, nawe kwa kweli unikumbuke,+ na ikiwa hutamsahau kijakazi wako na kwa kweli umpe kijakazi wako uzao wa kiume, mimi nitamtoa kwa Yehova siku zote za maisha yake, wala wembe hautapita juu ya kichwa chake.”+

  • 1 Samweli 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa hiyo ikawa mwishoni mwa mwaka kwamba Hana akachukua mimba, akamzaa mwana, akamwita jina+ lake Samweli, kwa maana alisema, “Nimemwomba kutoka kwa Yehova.”+

  • Zaburi 113:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Anampa mwanamke tasa makao katika nyumba+

      Kama mama ya wana aliye na shangwe.+

      Msifuni Yah!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki