7 na kwa kweli mume wake asikie na kukaa kimya kumwelekea siku ya kusikia kwake, nadhiri zake zitasimama au nadhiri zake za kujiepusha ambazo amefunga juu ya nafsi yake zitasimama.+
14 Lakini ikiwa mume wake atakaa kimya kabisa kumwelekea siku baada ya siku, yeye ameziimarisha pia nadhiri zake zote au nadhiri zake zote za kujiepusha zilizo juu yake.+ Amezithibitisha kwa sababu alikaa kimya kumwelekea siku alipozisikia.
23 Maneno ya midomo yako utayatimiza,+ nawe lazima ufanye kama vile ambavyo umeweka nadhiri kwa Yehova Mungu wako kama toleo la hiari ambalo ulisema kwa kinywa chako.+