Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 23:1

Marejeo

  • +Isa 56:4; Mt 19:12
  • +Law 21:20

Kumbukumbu la Torati 23:2

Marejeo

  • +Kut 20:14; Law 20:10; Yoh 8:41; Ebr 12:8

Kumbukumbu la Torati 23:3

Marejeo

  • +Ne 13:1

Kumbukumbu la Torati 23:4

Marejeo

  • +Mt 25:45
  • +Kum 2:29; Amu 11:18
  • +Hes 22:6; Yos 24:9; Ne 13:2

Kumbukumbu la Torati 23:5

Marejeo

  • +Hes 22:35; Mik 6:5
  • +Hes 23:11, 25; 24:10; Zb 3:8
  • +Kum 7:7; 33:3; Eze 16:8; Mal 1:2

Kumbukumbu la Torati 23:6

Marejeo

  • +2Sa 8:2; 12:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 591

Kumbukumbu la Torati 23:7

Marejeo

  • +Mwa 25:24; 36:1; Hes 20:14; Oba 10
  • +Mwa 15:13; 46:6; Kut 22:21; Law 19:34; Zb 105:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 151

Kumbukumbu la Torati 23:9

Marejeo

  • +1Sa 21:5; 2Sa 11:11

Kumbukumbu la Torati 23:10

Marejeo

  • +Law 15:16
  • +1Sa 20:26

Kumbukumbu la Torati 23:11

Marejeo

  • +Law 15:31

Kumbukumbu la Torati 23:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 6

    Furaha ya Familia, kur. 47-48

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 6; fy 47-48

Kumbukumbu la Torati 23:13

Marejeo

  • +1Sa 24:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2012, uku. 6

    Furaha ya Familia, kur. 47-48

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 6/1 6; fy 47-48

Kumbukumbu la Torati 23:14

Marejeo

  • +Law 26:12
  • +Kum 7:2, 23
  • +1Pe 1:16
  • +Law 26:17; 2Pe 3:14

Kumbukumbu la Torati 23:15

Marejeo

  • +1Sa 30:15

Kumbukumbu la Torati 23:16

Marejeo

  • +Isa 16:3
  • +Kut 22:21; Yer 7:5; Zek 7:9; Mal 3:5

Kumbukumbu la Torati 23:17

Marejeo

  • +Law 19:29; 21:9
  • +1Fa 14:24; 15:12; 2Fa 23:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1997, uku. 29

    4/15/1989, uku. 3

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 2/1 29

Kumbukumbu la Torati 23:18

Marejeo

  • +Eze 16:33
  • +Mwa 19:5; Ro 1:27; 1Ti 1:10; Ufu 22:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1997, uku. 29

    4/15/1989, uku. 3

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 2/1 29

Kumbukumbu la Torati 23:19

Marejeo

  • +Kut 22:25; Law 25:36; Ne 5:10; Zb 15:5; Eze 18:8; 22:12
  • +Law 25:37

Kumbukumbu la Torati 23:20

Marejeo

  • +Kum 15:6
  • +Met 28:8; Eze 18:17
  • +Kum 15:4, 10; Met 19:17; Lu 6:35

Kumbukumbu la Torati 23:21

Marejeo

  • +Amu 11:30; 1Sa 1:11
  • +Ayu 22:27; Zb 66:13; 116:18; Mhu 5:4; Yon 2:9; Nah 1:15
  • +Mhu 5:6; Ro 1:31; Yak 4:17

Kumbukumbu la Torati 23:22

Marejeo

  • +Mhu 5:5

Kumbukumbu la Torati 23:23

Marejeo

  • +Hes 30:2; Zb 15:4; Met 20:25
  • +Amu 11:35; 1Sa 14:24; Mt 5:33

Kumbukumbu la Torati 23:24

Marejeo

  • +Mt 6:11; Ro 13:10

Kumbukumbu la Torati 23:25

Marejeo

  • +Mt 12:1; Lu 6:1

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 23:1Isa 56:4; Mt 19:12
Kum. 23:1Law 21:20
Kum. 23:2Kut 20:14; Law 20:10; Yoh 8:41; Ebr 12:8
Kum. 23:3Ne 13:1
Kum. 23:4Mt 25:45
Kum. 23:4Kum 2:29; Amu 11:18
Kum. 23:4Hes 22:6; Yos 24:9; Ne 13:2
Kum. 23:5Hes 22:35; Mik 6:5
Kum. 23:5Hes 23:11, 25; 24:10; Zb 3:8
Kum. 23:5Kum 7:7; 33:3; Eze 16:8; Mal 1:2
Kum. 23:62Sa 8:2; 12:31
Kum. 23:7Mwa 25:24; 36:1; Hes 20:14; Oba 10
Kum. 23:7Mwa 15:13; 46:6; Kut 22:21; Law 19:34; Zb 105:23
Kum. 23:91Sa 21:5; 2Sa 11:11
Kum. 23:10Law 15:16
Kum. 23:101Sa 20:26
Kum. 23:11Law 15:31
Kum. 23:131Sa 24:3
Kum. 23:14Law 26:12
Kum. 23:14Kum 7:2, 23
Kum. 23:141Pe 1:16
Kum. 23:14Law 26:17; 2Pe 3:14
Kum. 23:151Sa 30:15
Kum. 23:16Isa 16:3
Kum. 23:16Kut 22:21; Yer 7:5; Zek 7:9; Mal 3:5
Kum. 23:17Law 19:29; 21:9
Kum. 23:171Fa 14:24; 15:12; 2Fa 23:7
Kum. 23:18Eze 16:33
Kum. 23:18Mwa 19:5; Ro 1:27; 1Ti 1:10; Ufu 22:15
Kum. 23:19Kut 22:25; Law 25:36; Ne 5:10; Zb 15:5; Eze 18:8; 22:12
Kum. 23:19Law 25:37
Kum. 23:20Kum 15:6
Kum. 23:20Met 28:8; Eze 18:17
Kum. 23:20Kum 15:4, 10; Met 19:17; Lu 6:35
Kum. 23:21Amu 11:30; 1Sa 1:11
Kum. 23:21Ayu 22:27; Zb 66:13; 116:18; Mhu 5:4; Yon 2:9; Nah 1:15
Kum. 23:21Mhu 5:6; Ro 1:31; Yak 4:17
Kum. 23:22Mhu 5:5
Kum. 23:23Hes 30:2; Zb 15:4; Met 20:25
Kum. 23:23Amu 11:35; 1Sa 14:24; Mt 5:33
Kum. 23:24Mt 6:11; Ro 13:10
Kum. 23:25Mt 12:1; Lu 6:1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 23:1-25

Kumbukumbu la Torati

23 “Mwanamume yeyote aliyefanywa towashi+ kwa kuvunjwa mapumbu+ au kwa kukatwa uume wake asiingie katika kutaniko la Yehova.

2 “Mwana-haramu+ yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova. Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wake asiingie katika kutaniko la Yehova.

3 “Mwamoni au Mmoabu yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wao asiingie katika kutaniko la Yehova mpaka wakati usio na kipimo, 4 kwa sababu hawakuja kuwasaidia+ kwa mkate na maji njiani mlipokuwa mkitoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi juu yako Balaamu yule mwana wa Beori kutoka Pethori ya Mesopotamia, ili akulaani.+ 5 Na Yehova Mungu wako hakutaka kumsikiliza Balaamu;+ lakini Yehova Mungu wako kwa ajili yako aligeuza ile laana ikawa baraka,+ kwa sababu Yehova Mungu wako alikupenda.+ 6 Usifanyie kazi amani yao na ufanisi wao siku zako zote mpaka wakati usio na kipimo.+

7 “Usimchukie Mwedomu, kwa maana yeye ni ndugu yako.+

“Usimchukie Mmisri, kwa maana ulikuwa mkaaji mgeni katika nchi yake.+ 8 Wana ambao huenda wakazaliwa wakiwa kizazi cha tatu wanaweza kuingia wenyewe katika kutaniko la Yehova.

9 “Ikiwa utaenda nje kambini kupigana na adui zako, ndipo utajiepusha na kila jambo baya.+ 10 Ikiwa kati yako kutakuwa na mwanamume ambaye haendelei kuwa safi, kwa sababu ya uchafuzi ambao hutukia usiku,+ atatoka nje ya kambi. Hataingia katikati ya kambi.+ 11 Na itatukia kwamba jioni inapofika ataoga kwa maji, na wakati wa kutua kwa jua anaweza kuingia katikati ya kambi.+ 12 Na mahali pa faragha panapaswa kuwapo kwa ajili ya matumizi yako nje ya kambi, nawe utaenda nje huko. 13 Nawe unapaswa kuwa na kijiti cha kuchimbia kwa ajili ya matumizi yako pamoja na vifaa vyako, na itatukia kwamba utakapochutama nje, utachimba shimo pia kwa hicho na kugeuka na kufunika mavi yako.+ 14 Kwa maana Yehova Mungu wako anatembea ndani ya kambi yako ili kukukomboa+ na kuwatia adui zako mkononi mwako;+ na kambi yako lazima iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kisichofaa ndani yako naye ageuke na kuacha kuandamana nawe.+

15 “Usimtie mtumwa mkononi mwa bwana wake anapomkimbia bwana wake na kuja kwako.+ 16 Ataendelea kukaa pamoja nawe katikati yako katika mahali popote atakapochagua katika moja la majiji yako,+ popote anapopenda. Usimtendee vibaya.+

17 “Yeyote kati ya binti za Israeli asiwe kahaba wa hekaluni,+ wala yeyote kati ya wana wa Israeli asiwe kahaba wa hekaluni.+ 18 Usilete malipo+ ya kahaba au bei ya mbwa+ ndani ya nyumba ya Yehova Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu hao ni chukizo kwa Yehova Mungu wako, naam, wote wawili.

19 “Usimfanye ndugu yako alipe faida,+ faida juu ya pesa, faida juu ya chakula,+ faida juu ya kitu chochote ambacho mtu anaweza kudai faida. 20 Unaweza kumlipiza mgeni+ faida, lakini ndugu yako usimfanye alipe faida;+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zako zote katika nchi ambayo unaenda kuimiliki.+

21 “Ikiwa utaweka nadhiri kwa Yehova+ Mungu wako, usikawie kuitimiza,+ kwa sababu Yehova Mungu wako lazima ataitaka kutoka kwako, nayo kwa kweli itakuwa dhambi kwako.+ 22 Lakini ikiwa utaepuka kuweka nadhiri, haitakuwa dhambi kwako.+ 23 Maneno ya midomo yako utayatimiza,+ nawe lazima ufanye kama vile ambavyo umeweka nadhiri kwa Yehova Mungu wako kama toleo la hiari ambalo ulisema kwa kinywa chako.+

24 “Ikiwa utaingia katika shamba la mizabibu la mwenzako, utakula zabibu zinazotosha kuishibisha nafsi yako tu, lakini usitie zozote katika chombo chako.+

25 “Ikiwa utaenda kwenye nafaka ya mwenzako inayosimama, utachuma masuke yaliyoiva tu kwa mkono wako, lakini usiusogeze mundu huku na huku juu ya nafaka inayosimama ya mwenzako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki