- 
	                        
            
            2 Samweli 11:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
11 Ndipo Uria akamwambia Daudi: “Lile Sanduku+ na Israeli na Yuda wanakaa katika vibanda, na Yoabu bwana wangu na watumishi wa bwana wangu+ wanapiga kambi juu ya uso wa pori, nami—niende nyumbani kwangu kula na kunywa na kulala na mke wangu?+ Kama unavyoishi na kama nafsi yako inavyoishi,+ sitafanya jambo hili!”
 
 -