Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Sasa, mwanamume akitokwa na shahawa,+ basi ataoga mwili wake wote katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.

  • Kumbukumbu la Torati 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ikiwa utaenda nje kambini kupigana na adui zako, ndipo utajiepusha na kila jambo baya.+

  • 1 Samweli 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo Daudi akamjibu kuhani na kumwambia: “Wanawake wamekaa mbali nasi kama ilivyokuwa hapo mwanzoni nilipotoka,+ na viungo vya hao vijana vingali ni vitakatifu, ingawa utume wenyewe ni wa kawaida. Na je, si zaidi leo, mtu anapokuwa mtakatifu katika kiungo chake?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki