Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakuna mtu yeyote wa uzao wa Haruni wakati ambapo ana ukoma+ au mtiririko unaotoka+ atakayekula vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala yule atakayegusa mtu yeyote asiye safi kwa nafsi iliyokufa+ au mtu ambaye shahawa itamtoka,+

  • Kumbukumbu la Torati 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ikiwa kati yako kutakuwa na mwanamume ambaye haendelei kuwa safi, kwa sababu ya uchafuzi ambao hutukia usiku,+ atatoka nje ya kambi. Hataingia katikati ya kambi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki