4 Hakuna mtu yeyote wa uzao wa Haruni wakati ambapo ana ukoma+ au mtiririko unaotoka+ atakayekula vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala yule atakayegusa mtu yeyote asiye safi kwa nafsi iliyokufa+ au mtu ambaye shahawa itamtoka,+
10 Ikiwa kati yako kutakuwa na mwanamume ambaye haendelei kuwa safi, kwa sababu ya uchafuzi ambao hutukia usiku,+ atatoka nje ya kambi. Hataingia katikati ya kambi.+