Mambo ya Walawi 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Hii itakuwa sheria ya mwenye ukoma+ katika siku ya kuthibitisha utakaso wake, atakapoletwa kwa kuhani.+ Mambo ya Walawi 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “‘Sasa, ikiwa yule mwenye mtiririko unaotoka atakuwa safi kutokana na mtiririko wake unaotoka, basi atajihesabia siku saba kwa ajili ya utakaso+ wake, naye atayafua mavazi yake na kuoga mwili wake katika maji yanayotiririka;+ naye atakuwa safi.
2 “Hii itakuwa sheria ya mwenye ukoma+ katika siku ya kuthibitisha utakaso wake, atakapoletwa kwa kuhani.+
13 “‘Sasa, ikiwa yule mwenye mtiririko unaotoka atakuwa safi kutokana na mtiririko wake unaotoka, basi atajihesabia siku saba kwa ajili ya utakaso+ wake, naye atayafua mavazi yake na kuoga mwili wake katika maji yanayotiririka;+ naye atakuwa safi.