Mambo ya Walawi 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na yule anayejitakasa atayafua mavazi+ yake na kunyoa nywele zake zote na kuoga+ katika maji naye atakuwa safi, kisha baadaye ataingia kambini. Naye atakaa nje ya hema lake kwa siku saba.+ Mambo ya Walawi 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na siku ya nane+ atawaleta ili kuthibitisha utakaso+ wake kwa kuhani katika mwingilio wa hema la mkutano+ mbele za Yehova.
8 “Na yule anayejitakasa atayafua mavazi+ yake na kunyoa nywele zake zote na kuoga+ katika maji naye atakuwa safi, kisha baadaye ataingia kambini. Naye atakaa nje ya hema lake kwa siku saba.+
23 Na siku ya nane+ atawaleta ili kuthibitisha utakaso+ wake kwa kuhani katika mwingilio wa hema la mkutano+ mbele za Yehova.