13 “‘Sasa, ikiwa yule mwenye mtiririko unaotoka atakuwa safi kutokana na mtiririko wake unaotoka, basi atajihesabia siku saba kwa ajili ya utakaso+ wake, naye atayafua mavazi yake na kuoga mwili wake katika maji yanayotiririka;+ naye atakuwa safi.
14 Na katika siku ya nane atajichukulia njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, naye atakuja mbele za Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano na kumpa kuhani.
14 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate+ moja kwa moja usoni pake, je, hangefedheheshwa siku saba? Na atengwe+ siku saba nje ya kambi,+ kisha apokewe ndani baadaye.”+