Hesabu 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova akamjibu Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate usoni moja kwa moja, je, hangeaibika kwa siku saba? Acha atengwe nje ya kambi kwa siku saba,+ kisha anaweza kurudishwa kambini.” Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:14 Igeni Imani Yao, makala 7
14 Yehova akamjibu Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate usoni moja kwa moja, je, hangeaibika kwa siku saba? Acha atengwe nje ya kambi kwa siku saba,+ kisha anaweza kurudishwa kambini.”