-
Mambo ya Walawi 13:45, 46Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
45 Mtu mwenye ukoma anapaswa kuvaa mavazi yaliyoraruka, hapaswi kutunza nywele za kichwa chake, naye anapaswa kufunika masharubu yake na kusema hivi kwa sauti: ‘Mimi si safi, mimi si safi!’ 46 Kwa muda wote atakaokuwa na ugonjwa huo hatakuwa safi. Kwa kuwa yeye si safi, ataishi akiwa ametengwa. Ataishi nje ya kambi.+
-