Mambo ya Walawi 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mzao yeyote wa Haruni mwenye ukoma+ au anayetokwa na umajimaji+ asile vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala mtu anayemgusa mtu yeyote aliyejichafua kwa kugusa mtu aliyekufa,*+ wala mtu anayetokwa na shahawa,+ Hesabu 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu yeyote anayemgusa mtu aliyekufa* hatakuwa safi kwa siku saba.+
4 Mzao yeyote wa Haruni mwenye ukoma+ au anayetokwa na umajimaji+ asile vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala mtu anayemgusa mtu yeyote aliyejichafua kwa kugusa mtu aliyekufa,*+ wala mtu anayetokwa na shahawa,+