Mambo ya Walawi 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Waambie hivi wana wa Haruni, makuhani: ‘Mtu yeyote kati yenu asijichafue kwa kumgusa mtu aliyekufa* miongoni mwa watu wake.+ Hesabu 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu yeyote anayemgusa mtu aliyekufa* hatakuwa safi kwa siku saba.+ Hesabu 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kitu chochote kinachoguswa na mtu asiye safi hakitakuwa safi, na mtu anayekigusa hatakuwa safi mpaka jioni.’”+
21 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Waambie hivi wana wa Haruni, makuhani: ‘Mtu yeyote kati yenu asijichafue kwa kumgusa mtu aliyekufa* miongoni mwa watu wake.+
22 Kitu chochote kinachoguswa na mtu asiye safi hakitakuwa safi, na mtu anayekigusa hatakuwa safi mpaka jioni.’”+