5 Naye kuhani atamtazama siku ya saba, na ikiwa pigo hilo linaonekana kuwa limekoma, pigo hilo halijaenea katika ngozi, kuhani atamtenga+ pia siku nyingine saba.
2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+