Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 13:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Siku zote ambazo pigo hilo litakuwa ndani yake atakuwa si safi. Yeye si safi. Atakaa akiwa ametengwa. Makao yake yatakuwa nje ya kambi.+

  • Hesabu 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate+ moja kwa moja usoni pake, je, hangefedheheshwa siku saba? Na atengwe+ siku saba nje ya kambi,+ kisha apokewe ndani baadaye.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Uzia+ mfalme akaendelea kuwa mwenye ukoma mpaka siku ya kufa kwake, naye akaendelea kukaa katika nyumba fulani akiwa ameondolewa wajibu wake, akiwa mwenye ukoma;+ kwa sababu alikuwa ametengwa na nyumba ya Yehova, huku Yothamu mwana wake akiwa juu ya nyumba ya mfalme, akiwahukumu watu wa nchi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki