Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+

  • Hesabu 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate+ moja kwa moja usoni pake, je, hangefedheheshwa siku saba? Na atengwe+ siku saba nje ya kambi,+ kisha apokewe ndani baadaye.”+

  • 2 Wafalme 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na palikuwa na watu wanne wenye ukoma, waliokuwa katika mwingilio wa lango;+ nao wakaanza kuambiana: “Kwa nini tunaketi hapa mpaka tufe?

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Uzia+ mfalme akaendelea kuwa mwenye ukoma mpaka siku ya kufa kwake, naye akaendelea kukaa katika nyumba fulani akiwa ameondolewa wajibu wake, akiwa mwenye ukoma;+ kwa sababu alikuwa ametengwa na nyumba ya Yehova, huku Yothamu mwana wake akiwa juu ya nyumba ya mfalme, akiwahukumu watu wa nchi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki