2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+
14 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate+ moja kwa moja usoni pake, je, hangefedheheshwa siku saba? Na atengwe+ siku saba nje ya kambi,+ kisha apokewe ndani baadaye.”+