Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 13:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Siku zote ambazo pigo hilo litakuwa ndani yake atakuwa si safi. Yeye si safi. Atakaa akiwa ametengwa. Makao yake yatakuwa nje ya kambi.+

  • Hesabu 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+

  • Hesabu 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ikiwa baba yake angemtemea mate+ moja kwa moja usoni pake, je, hangefedheheshwa siku saba? Na atengwe+ siku saba nje ya kambi,+ kisha apokewe ndani baadaye.”+

  • Hesabu 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo Miriamu akatengwa nje ya kambi siku saba,+ nao watu hawakuondoka mpaka Miriamu alipopokewa ndani.

  • 2 Wafalme 7:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na palikuwa na watu wanne wenye ukoma, waliokuwa katika mwingilio wa lango;+ nao wakaanza kuambiana: “Kwa nini tunaketi hapa mpaka tufe?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki