Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hakuna mtu yeyote wa uzao wa Haruni wakati ambapo ana ukoma+ au mtiririko unaotoka+ atakayekula vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala yule atakayegusa mtu yeyote asiye safi kwa nafsi iliyokufa+ au mtu ambaye shahawa itamtoka,+

  • Hesabu 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yeyote atakayegusa maiti ya nafsi+ yoyote ya binadamu atakuwa asiye safi siku saba.+

  • Hesabu 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nanyi mpige kambi nje ya kambi siku saba. Kila mtu ambaye ameua nafsi+ na kila mtu ambaye amegusa mtu aliyeuawa,+ mtajitakasa+ katika siku ya tatu na katika siku ya saba, ninyi na mateka wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki