Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Ongea na makuhani, wana wa Haruni, nawe uwaambie, ‘Kwa ajili ya nafsi iliyokufa, mtu yeyote asijitie unajisi katikati ya watu wake.+

  • Mambo ya Walawi 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye hatakuja mahali penye nafsi yoyote iliyokufa.+ Kwa ajili ya baba yake na mama yake hatajitia unajisi.

  • Hesabu 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+

  • Hesabu 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini ikiwa yeyote anayekufa atakufa ghafula kando yake+ hivi kwamba awe amekitia unajisi kichwa cha Unadhiri wake, basi lazima anyoe+ kichwa chake katika siku ya kuthibitisha utakaso wake. Katika siku ya saba anapaswa kukinyoa.

  • Hesabu 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa kukawa na watu ambao walikuwa wamekuwa najisi kwa sababu ya nafsi+ ya binadamu hivi kwamba hawakuweza kuitayarisha dhabihu ya pasaka katika siku hiyo. Kwa hiyo wakaenda mbele ya Musa na Haruni katika siku hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki