Hesabu 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mtu akifa ghafla kando yake+ na kuchafua nywele zake ambazo ni ishara ya kwamba amejitenga kwa ajili ya Mungu,* ni lazima anyoe kichwa chake+ siku anapothibitisha utakaso wake. Anapaswa kukinyoa siku ya saba.
9 Lakini mtu akifa ghafla kando yake+ na kuchafua nywele zake ambazo ni ishara ya kwamba amejitenga kwa ajili ya Mungu,* ni lazima anyoe kichwa chake+ siku anapothibitisha utakaso wake. Anapaswa kukinyoa siku ya saba.