Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye hatakuja mahali penye nafsi yoyote iliyokufa.+ Kwa ajili ya baba yake na mama yake hatajitia unajisi.

  • Hesabu 5:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+

  • Hesabu 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Siku zote za kutengwa kwake kwa ajili ya Yehova asikaribie nafsi yoyote iliyokufa.+

  • Hesabu 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hii ndiyo sheria ikiwa mtu atakufa ndani ya hema: Kila mtu atakayeingia katika hema hilo, na kila mtu aliye ndani ya hema hilo, atakuwa asiye safi siku saba.

  • Hesabu 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kila mtu ambaye huko shambani atagusa mtu aliyeuawa kwa upanga+ au maiti au mfupa+ wa mtu au kaburi atakuwa asiye safi siku saba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki