-
Hesabu 19:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu mtu anayefia ndani ya hema: Kila mtu anayeingia katika hema hilo na kila mtu aliyekuwa ndani ya hema hilo wakati huo, hatakuwa safi kwa siku saba.
-