Hesabu 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+ Hesabu 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeyote atakayegusa maiti ya nafsi+ yoyote ya binadamu atakuwa asiye safi siku saba.+
2 “Amuru wana wa Israeli kwamba wamtoe nje ya kambi kila mtu mwenye ukoma+ na kila mtu mwenye mtiririko unaotoka+ na kila mtu asiye safi kutokana na nafsi iliyokufa.+