5 Mwishowe Yehova akamletea mfalme pigo,+ naye akaendelea kuwa mwenye ukoma+ mpaka siku ya kufa kwake, naye akaendelea kukaa katika nyumba yake akiwa ameondolewa wajibu wake,+ huku Yothamu+ mwana wa mfalme akiwa juu ya nyumba, akiwahukumu+ watu wa nchi.