19 Lakini Uzia akawa na ghadhabu,+ huku mkononi mwake akiwa na chetezo,+ cha kufukiza uvumba, na, alipokuwa na ghadhabu juu ya makuhani, ukoma+ ukatokea+ katika paji la uso wake mbele ya wale makuhani katika nyumba ya Yehova kando ya madhabahu ya uvumba.