Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hata hivyo, Asa akaudhika kwa sababu ya yule mwonaji, akamtia katika nyumba ya mikatale,+ kwa sababu alimwonea ghadhabu juu ya jambo hilo.+ Na Asa akaanza kuwakandamiza+ baadhi ya watu wakati huohuo.

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ikawa kwamba aliposema naye, mara moja mfalme akamwambia: “Je, tulikuweka wewe kuwa mshauri wa mfalme?+ Acha kwa faida yako mwenyewe.+ Kwa nini wakupige na kukuua?” Kwa hiyo yule nabii akaacha, lakini akasema: “Hakika ninajua kwamba Mungu ameazimia kukuangamiza wewe,+ kwa sababu umetenda hivi+ wala hukulisikiliza shauri langu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki