5 na kumwambia: “Tazama! Wewe mwenyewe umezeeka, lakini wana wako hawakutembea katika njia zako. Basi sasa tuchagulie mfalme+ wa kutuhukumu sisi kama mataifa mengine yote.”
9 Nawe umpe mtumishi wako moyo mtiifu ili awahukumu+ watu wako, atambue kati ya mema na mabaya;+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu+ hawa watu wako walio wagumu?”+