Kumbukumbu la Torati 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe uwe umeimiliki na kukaa ndani yake,+ nawe uwe umesema, ‘Acha niweke mfalme juu yangu kama mataifa yote yanayonizunguka’;+ 1 Samweli 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na sasa tazameni, mfalme mliyemchagua, ambaye mliomba;+ na tazameni, Yehova ameweka mfalme juu yenu.+ Hosea 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Basi, yuko wapi mfalme wako, apate kukuokoa katika majiji yako yote,+ na waamuzi wako, ambao ulisema hivi kuwahusu, ‘Nipe mfalme na wakuu’?+ Matendo 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini tangu hapo na kuendelea wakadai mfalme,+ na Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi, mwanamume wa kabila la Benyamini,+ kwa miaka 40.
14 “Mwishowe utakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nawe uwe umeimiliki na kukaa ndani yake,+ nawe uwe umesema, ‘Acha niweke mfalme juu yangu kama mataifa yote yanayonizunguka’;+
13 Na sasa tazameni, mfalme mliyemchagua, ambaye mliomba;+ na tazameni, Yehova ameweka mfalme juu yenu.+
10 “Basi, yuko wapi mfalme wako, apate kukuokoa katika majiji yako yote,+ na waamuzi wako, ambao ulisema hivi kuwahusu, ‘Nipe mfalme na wakuu’?+
21 Lakini tangu hapo na kuendelea wakadai mfalme,+ na Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi, mwanamume wa kabila la Benyamini,+ kwa miaka 40.