2 Mambo ya Nyakati 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa unipe hekima na ujuzi+ ili nitoke mbele ya watu hawa na ili niingie ndani,+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu hawa watu wako walio wengi?”+ Zaburi 72:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Ee Mungu, umpe mfalme maamuzi yako ya hukumu,+Na uadilifu wako mwana wa mfalme.+ Zaburi 119:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Unifanye nielewe, ili nipate kuishika sheria yako+Nami nipate kuishika kwa moyo wote.+
10 Sasa unipe hekima na ujuzi+ ili nitoke mbele ya watu hawa na ili niingie ndani,+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu hawa watu wako walio wengi?”+