Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 105:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Ili wapate kushika masharti yake+Na kushika sheria zake.+Msifuni Yah!+ Zaburi 119:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 119 Wenye furaha ni wale wasio na kosa katika njia yao,+Wale wanaotembea katika sheria ya Yehova.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+