Zaburi 119:97 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 97 Jinsi ninavyoipenda sheria yako!+Ndiyo ninayoihangaikia mchana kutwa.+ Zaburi 128:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+Anayetembea katika njia zake.+ Waroma 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli naipenda+ sheria ya Mungu kulingana na mtu+ niliye kwa ndani, Yakobo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.
25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.