21 Na Uzia+ mfalme akaendelea kuwa mwenye ukoma mpaka siku ya kufa kwake, naye akaendelea kukaa katika nyumba fulani akiwa ameondolewa wajibu wake, akiwa mwenye ukoma;+ kwa sababu alikuwa ametengwa na nyumba ya Yehova, huku Yothamu mwana wake akiwa juu ya nyumba ya mfalme, akiwahukumu watu wa nchi.