2 Wafalme 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria,+ wakati huo akiwa na umri wa miaka kumi na sita,+ nao wakamfanya kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake. 2 Wafalme 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika mwaka wa 27 wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria+ mwana wa Amazia+ mfalme wa Yuda akawa mfalme. 1 Mambo ya Nyakati 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Amazia+ mwana wake, Azaria+ mwana wake, Yothamu+ mwana wake,
21 Ndipo watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria,+ wakati huo akiwa na umri wa miaka kumi na sita,+ nao wakamfanya kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake.
15 Katika mwaka wa 27 wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria+ mwana wa Amazia+ mfalme wa Yuda akawa mfalme.