2 Mambo ya Nyakati 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo watu+ wote wa Yuda wakamchukua Uzia,+ akiwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya+ kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake. Mathayo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Asa akamzaa Yehoshafati;+Yehoshafati akamzaa Yehoramu;+Yehoramu akamzaa Uzia;
26 Ndipo watu+ wote wa Yuda wakamchukua Uzia,+ akiwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya+ kuwa mfalme mahali pa Amazia+ baba yake.