2 Wafalme 15:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa habari ya Shalumu mwana wa Yabeshi, alikuwa mfalme katika mwaka wa 39 wa Uzia+ mfalme wa Yuda, naye akaendelea kutawala kwa mwezi mmoja kamili katika Samaria.+ Mathayo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Asa akamzaa Yehoshafati;+Yehoshafati akamzaa Yehoramu;+Yehoramu akamzaa Uzia;
13 Kwa habari ya Shalumu mwana wa Yabeshi, alikuwa mfalme katika mwaka wa 39 wa Uzia+ mfalme wa Yuda, naye akaendelea kutawala kwa mwezi mmoja kamili katika Samaria.+