Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 15:1

Marejeo

  • +2Fa 14:21; 2Nya 26:1
  • +2Fa 14:1

2 Wafalme 15:2

Marejeo

  • +2Nya 26:3

2 Wafalme 15:3

Marejeo

  • +2Fa 14:3; 2Nya 26:4

2 Wafalme 15:4

Marejeo

  • +Hes 33:52; Kum 12:14; 2Nya 6:6; 32:12
  • +1Sa 14:35; 1Fa 22:43; 2Fa 14:4

2 Wafalme 15:5

Marejeo

  • +2Nya 26:19; Ayu 34:19
  • +Hes 12:10; 2Fa 5:27
  • +Law 13:46; Kum 24:8
  • +2Fa 15:32; 1Nya 3:12; 2Nya 26:21
  • +1Sa 8:5; 1Fa 3:9; Zb 72:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, uku. 21

    8/1/2005, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/1 11

2 Wafalme 15:6

Marejeo

  • +1Fa 14:29; 2Nya 26:22

2 Wafalme 15:7

Marejeo

  • +Isa 6:1
  • +2Nya 26:23

2 Wafalme 15:8

Marejeo

  • +2Fa 14:21
  • +2Fa 14:29

2 Wafalme 15:9

Marejeo

  • +2Fa 13:2; 14:24
  • +1Fa 12:28; 13:33
  • +Kut 32:21; 1Fa 14:16

2 Wafalme 15:10

Marejeo

  • +Hes 35:20; Kum 19:11
  • +Ho. 1:4; Amo 7:9
  • +Yos 17:11; 2Fa 9:27

2 Wafalme 15:11

Marejeo

  • +1Fa 14:19

2 Wafalme 15:12

Marejeo

  • +Isa 14:27; 44:26; 55:11
  • +2Fa 10:30
  • +2Fa 13:1, 10; 14:23, 29
  • +Hes 23:19

2 Wafalme 15:13

Marejeo

  • +2Nya 26:1; Mt 1:8
  • +Ho. 5:7

2 Wafalme 15:14

Marejeo

  • +2Fa 15:17
  • +1Fa 14:17; 15:21; 16:8, 17
  • +2Fa 15:10

2 Wafalme 15:15

Marejeo

  • +Kum 19:11

2 Wafalme 15:16

Marejeo

  • +2Fa 8:12; Amo 1:13

2 Wafalme 15:17

Marejeo

  • +2Fa 15:13

2 Wafalme 15:18

Marejeo

  • +1Fa 11:38
  • +1Fa 12:28; 13:33
  • +Kut 32:21; 1Fa 14:16

2 Wafalme 15:19

Marejeo

  • +1Nya 5:26
  • +Mwa 2:14; 2Fa 17:23
  • +Kum 28:45; 2Fa 12:18; 16:8
  • +1Fa 16:24
  • +Yer 17:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 69-70

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1988, uku. 26

2 Wafalme 15:20

Marejeo

  • +2Fa 23:35

2 Wafalme 15:21

Marejeo

  • +2Fa 15:14
  • +1Fa 14:19; 1Ko 10:11

2 Wafalme 15:22

Marejeo

  • +2Fa 15:26

2 Wafalme 15:23

Marejeo

  • +Ayu 20:5; Met 28:2

2 Wafalme 15:24

Marejeo

  • +1Fa 11:38; 2Fa 15:28
  • +1Fa 12:28; 13:33
  • +1Fa 14:16

2 Wafalme 15:25

Marejeo

  • +2Nya 28:6
  • +2Fa 7:17; 9:25
  • +Hes 35:20; Kum 19:11
  • +1Fa 16:18

2 Wafalme 15:26

Marejeo

  • +1Fa 14:19

2 Wafalme 15:27

Marejeo

  • +2Nya 28:6; Isa 7:1
  • +Isa 7:4, 9

2 Wafalme 15:28

Marejeo

  • +Mhu 12:13
  • +1Fa 12:28; 13:33
  • +Kut 20:3; 1Fa 14:16

2 Wafalme 15:29

Marejeo

  • +2Fa 16:7; 1Nya 5:6, 26; 2Nya 28:20
  • +Isa 8:4
  • +1Fa 15:20
  • +2Sa 20:18; 1Fa 15:20
  • +Yos 19:37; 20:7
  • +Yos 11:10; Amu 4:2
  • +Hes 32:40; Kum 3:15
  • +Yos 20:7; 1Fa 9:11; Isa 9:1; Mt 4:15
  • +Yos 19:32
  • +Law 26:38; Kum 28:64; 2Fa 17:23

2 Wafalme 15:30

Marejeo

  • +2Fa 17:1
  • +Kum 19:11
  • +Mt 26:52
  • +2Nya 27:1

2 Wafalme 15:31

Marejeo

  • +1Fa 14:19

2 Wafalme 15:32

Marejeo

  • +1Nya 3:12; 2Nya 27:7; Mt 1:9
  • +2Fa 14:21; 15:1; 1Nya 3:12

2 Wafalme 15:33

Marejeo

  • +2Nya 27:1

2 Wafalme 15:34

Marejeo

  • +Kum 28:1; Mhu 12:13
  • +2Nya 27:2

2 Wafalme 15:35

Marejeo

  • +Hes 33:52; Kum 12:14; 2Nya 6:6; 32:12
  • +2Nya 27:3

2 Wafalme 15:36

Marejeo

  • +2Fa 15:6; 2Nya 27:7

2 Wafalme 15:37

Marejeo

  • +Kum 28:49; Zb 78:49; Isa 10:5; Yer 43:10
  • +2Fa 16:5; Isa 7:2
  • +2Fa 15:27; 2Nya 28:6; Isa 7:1

2 Wafalme 15:38

Marejeo

  • +1Fa 14:31
  • +1Nya 3:13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 15:12Fa 14:21; 2Nya 26:1
2 Fal. 15:12Fa 14:1
2 Fal. 15:22Nya 26:3
2 Fal. 15:32Fa 14:3; 2Nya 26:4
2 Fal. 15:4Hes 33:52; Kum 12:14; 2Nya 6:6; 32:12
2 Fal. 15:41Sa 14:35; 1Fa 22:43; 2Fa 14:4
2 Fal. 15:52Nya 26:19; Ayu 34:19
2 Fal. 15:5Hes 12:10; 2Fa 5:27
2 Fal. 15:5Law 13:46; Kum 24:8
2 Fal. 15:52Fa 15:32; 1Nya 3:12; 2Nya 26:21
2 Fal. 15:51Sa 8:5; 1Fa 3:9; Zb 72:1
2 Fal. 15:61Fa 14:29; 2Nya 26:22
2 Fal. 15:7Isa 6:1
2 Fal. 15:72Nya 26:23
2 Fal. 15:82Fa 14:21
2 Fal. 15:82Fa 14:29
2 Fal. 15:92Fa 13:2; 14:24
2 Fal. 15:91Fa 12:28; 13:33
2 Fal. 15:9Kut 32:21; 1Fa 14:16
2 Fal. 15:10Hes 35:20; Kum 19:11
2 Fal. 15:10Ho. 1:4; Amo 7:9
2 Fal. 15:10Yos 17:11; 2Fa 9:27
2 Fal. 15:111Fa 14:19
2 Fal. 15:12Isa 14:27; 44:26; 55:11
2 Fal. 15:122Fa 10:30
2 Fal. 15:122Fa 13:1, 10; 14:23, 29
2 Fal. 15:12Hes 23:19
2 Fal. 15:132Nya 26:1; Mt 1:8
2 Fal. 15:13Ho. 5:7
2 Fal. 15:142Fa 15:17
2 Fal. 15:141Fa 14:17; 15:21; 16:8, 17
2 Fal. 15:142Fa 15:10
2 Fal. 15:15Kum 19:11
2 Fal. 15:162Fa 8:12; Amo 1:13
2 Fal. 15:172Fa 15:13
2 Fal. 15:181Fa 11:38
2 Fal. 15:181Fa 12:28; 13:33
2 Fal. 15:18Kut 32:21; 1Fa 14:16
2 Fal. 15:191Nya 5:26
2 Fal. 15:19Mwa 2:14; 2Fa 17:23
2 Fal. 15:19Kum 28:45; 2Fa 12:18; 16:8
2 Fal. 15:191Fa 16:24
2 Fal. 15:19Yer 17:5
2 Fal. 15:202Fa 23:35
2 Fal. 15:212Fa 15:14
2 Fal. 15:211Fa 14:19; 1Ko 10:11
2 Fal. 15:222Fa 15:26
2 Fal. 15:23Ayu 20:5; Met 28:2
2 Fal. 15:241Fa 11:38; 2Fa 15:28
2 Fal. 15:241Fa 12:28; 13:33
2 Fal. 15:241Fa 14:16
2 Fal. 15:252Nya 28:6
2 Fal. 15:252Fa 7:17; 9:25
2 Fal. 15:25Hes 35:20; Kum 19:11
2 Fal. 15:251Fa 16:18
2 Fal. 15:261Fa 14:19
2 Fal. 15:272Nya 28:6; Isa 7:1
2 Fal. 15:27Isa 7:4, 9
2 Fal. 15:28Mhu 12:13
2 Fal. 15:281Fa 12:28; 13:33
2 Fal. 15:28Kut 20:3; 1Fa 14:16
2 Fal. 15:292Fa 16:7; 1Nya 5:6, 26; 2Nya 28:20
2 Fal. 15:29Isa 8:4
2 Fal. 15:291Fa 15:20
2 Fal. 15:292Sa 20:18; 1Fa 15:20
2 Fal. 15:29Yos 19:37; 20:7
2 Fal. 15:29Yos 11:10; Amu 4:2
2 Fal. 15:29Hes 32:40; Kum 3:15
2 Fal. 15:29Yos 20:7; 1Fa 9:11; Isa 9:1; Mt 4:15
2 Fal. 15:29Yos 19:32
2 Fal. 15:29Law 26:38; Kum 28:64; 2Fa 17:23
2 Fal. 15:302Fa 17:1
2 Fal. 15:30Kum 19:11
2 Fal. 15:30Mt 26:52
2 Fal. 15:302Nya 27:1
2 Fal. 15:311Fa 14:19
2 Fal. 15:321Nya 3:12; 2Nya 27:7; Mt 1:9
2 Fal. 15:322Fa 14:21; 15:1; 1Nya 3:12
2 Fal. 15:332Nya 27:1
2 Fal. 15:34Kum 28:1; Mhu 12:13
2 Fal. 15:342Nya 27:2
2 Fal. 15:35Hes 33:52; Kum 12:14; 2Nya 6:6; 32:12
2 Fal. 15:352Nya 27:3
2 Fal. 15:362Fa 15:6; 2Nya 27:7
2 Fal. 15:37Kum 28:49; Zb 78:49; Isa 10:5; Yer 43:10
2 Fal. 15:372Fa 16:5; Isa 7:2
2 Fal. 15:372Fa 15:27; 2Nya 28:6; Isa 7:1
2 Fal. 15:381Fa 14:31
2 Fal. 15:381Nya 3:13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 15:1-38

2 Wafalme

15 Katika mwaka wa 27 wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria+ mwana wa Amazia+ mfalme wa Yuda akawa mfalme. 2 Alikuwa na umri wa miaka 16 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 52 katika Yerusalemu.+ Na jina la mama yake lilikuwa Yekolia wa Yerusalemu. 3 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa manyoofu machoni pa Yehova, kulingana na yote ambayo Amazia baba yake alikuwa amefanya.+ 4 Ni mahali pa juu peke yake ambapo hapakuondolewa.+ Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+ 5 Mwishowe Yehova akamletea mfalme pigo,+ naye akaendelea kuwa mwenye ukoma+ mpaka siku ya kufa kwake, naye akaendelea kukaa katika nyumba yake akiwa ameondolewa wajibu wake,+ huku Yothamu+ mwana wa mfalme akiwa juu ya nyumba, akiwahukumu+ watu wa nchi. 6 Na mambo mengine ya Azaria na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 7 Baadaye Azaria akalala pamoja na mababu zake,+ nao wakamzika pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Yothamu mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+

8 Katika mwaka wa 38 wa Azaria+ mfalme wa Yuda, Zekaria+ mwana wa Yeroboamu akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi 6. 9 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kama walivyofanya mababu zake.+ Hakuacha dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+ 10 Ndipo Shalumu mwana wa Yabeshi akapanga hila+ juu yake, akampiga+ katika Ibleamu,+ akamuua, akaanza kutawala mahali pake. 11 Na mambo mengine ya Zekaria, tazama, yameandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli. 12 Hilo lilikuwa ni neno la Yehova+ alilokuwa amemwambia Yehu, akisema:+ “Wana,+ mpaka kizazi cha nne, wataketi kwa ajili yako juu ya kiti cha ufalme cha Israeli.” Na ikawa hivyo.+

13 Kwa habari ya Shalumu mwana wa Yabeshi, alikuwa mfalme katika mwaka wa 39 wa Uzia+ mfalme wa Yuda, naye akaendelea kutawala kwa mwezi mmoja kamili katika Samaria.+ 14 Ndipo Menahemu+ mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirsa,+ akaja Samaria na kumpiga Shalumu+ mwana wa Yabeshi katika Samaria na kumuua; naye akaanza kutawala mahali pake. 15 Na mambo mengine ya Shalumu na hila+ yake aliyopanga, tazama, yameandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli. 16 Wakati huo ndipo Menahemu alipopiga Tifsa na vyote vilivyokuwa ndani yake na eneo lake kutoka Tirsa, kwa sababu haukufunguliwa, naye akaupiga. Akapasua wanawake wote wenye mimba+ wa eneo hilo.

17 Katika mwaka wa 39+ wa Azaria mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akawa mfalme juu ya Israeli kwa miaka 10 katika Samaria. 18 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi zote za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi,+ siku zake zote. 19 Pulu+ mfalme wa Ashuru+ akaingia katika nchi. Basi Menahemu akampa+ Pulu talanta elfu moja za fedha,+ ili mikono yake iwe pamoja naye kuimarisha ufalme mkononi mwake.+ 20 Kwa hiyo Menahemu akaleta fedha ile kwa gharama ya Israeli, kwa gharama ya mashujaa wote, wanaume wenye nguvu,+ ili kumpa mfalme wa Ashuru shekeli 50 za fedha kwa kila mwanamume. Basi mfalme wa Ashuru akarudi, naye hakukaa humo nchini. 21 Na mambo mengine ya Menahemu+ na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli? 22 Mwishowe Menahemu akalala pamoja na mababu zake, na Pekahia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

23 Katika mwaka wa 50 wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka miwili.+ 24 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi.+ 25 Ndipo Peka+ mwana wa Remalia amiri msaidizi+ wake akapanga hila+ juu yake, akampiga katika Samaria katika mnara wa makao wa nyumba ya mfalme+ pamoja na Argobu na Arie, na pamoja naye palikuwa watu 50 wa wana wa Gileadi. Basi akamuua na kuanza kutawala mahali pake. 26 Na mambo mengine ya Pekahia na yote aliyoyafanya, tazama, yameandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli.

27 Katika mwaka wa 52 wa Azaria mfalme wa Yuda, Peka+ mwana wa Remalia+ akawa mfalme juu ya Israeli katika Samaria kwa miaka 20. 28 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli watende dhambi.+ 29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru+ aliingia na kuchukua Iyoni+ na Abel-beth-maaka+ na Yanoa na Kedeshi+ na Hasori+ na Gileadi+ na Galilaya,+ nchi yote ya Naftali,+ akawachukua na kuwapeleka uhamishoni katika Ashuru.+ 30 Mwishowe Hoshea+ mwana wa Ela akafanya hila+ juu ya Peka mwana wa Remalia, akampiga na kumuua;+ naye akaanza kutawala mahali pake katika mwaka wa 20 wa Yothamu+ mwana wa Uzia. 31 Na mambo mengine ya Peka na yote aliyoyafanya, tazama, yameandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli.

32 Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli, Yothamu+ mwana wa Uzia+ mfalme wa Yuda akawa mfalme. 33 Alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 16 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Yerusha binti ya Sadoki.+ 34 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Uzia baba yake alikuwa amefanya.+ 35 Isipokuwa tu mahali pa juu hapakuondolewa. Watu walikuwa bado wanatoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu.+ Yeye ndiye aliyejenga lango la juu la nyumba ya Yehova.+ 36 Na yale mambo mengine ya Yothamu, aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda?+ 37 Katika siku hizo Yehova alianza kuleta+ juu ya Yuda, Resini+ mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia. 38 Mwishowe Yothamu akalala pamoja na mababu zake, akazikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi babu yake;+ na Ahazi+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki