2 Wafalme 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Katika mwaka wa 39+ wa Azaria mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akawa mfalme juu ya Israeli kwa miaka 10 katika Samaria.
17 Katika mwaka wa 39+ wa Azaria mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akawa mfalme juu ya Israeli kwa miaka 10 katika Samaria.