2 Wafalme 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa manyoofu machoni pa Yehova,+ ila tu si kama Daudi babu yake.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Yehoashi baba yake alifanya.+ 2 Mambo ya Nyakati 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Amazia baba yake alikuwa amefanya.+
3 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa manyoofu machoni pa Yehova,+ ila tu si kama Daudi babu yake.+ Akafanya kulingana na yote ambayo Yehoashi baba yake alifanya.+
4 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kulingana na yote ambayo Amazia baba yake alikuwa amefanya.+