Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehoashi+ akaendelea kufanya yaliyokuwa sawa machoni+ pa Yehova siku zote za Yehoyada kuhani.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 24:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mwishowe wakaiacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao, wakaanza kuitumikia miti mitakatifu+ na sanamu,+ hivi kwamba kukawa na ghadhabu juu ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hiyo hatia yao.+

  • Zekaria 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “ ‘Msiwe kama baba zenu+ ambao manabii wa kale waliwaita,+ wakisema: “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Tafadhali, rudini mwache njia zenu mbaya na mwache matendo yenu mabaya.’ ” ’+

      “ ‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunitegea sikio,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki