Zekaria 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Msiwe kama baba zenu walioambiwa hivi na manabii wa kale: “Yehova wa majeshi anasema, ‘Tafadhali, geukeni* kutoka katika njia zenu ovu na matendo yenu maovu.’”’+ “‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunikazia uangalifu,’+ asema Yehova.
4 “‘Msiwe kama baba zenu walioambiwa hivi na manabii wa kale: “Yehova wa majeshi anasema, ‘Tafadhali, geukeni* kutoka katika njia zenu ovu na matendo yenu maovu.’”’+ “‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunikazia uangalifu,’+ asema Yehova.