Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 9:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nikasema: “Ee Mungu wangu, ninaona aibu na haya kuuinua uso wangu kwako, Ee Mungu wangu, kwa sababu makosa yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imerundamana mpaka mbinguni.+ 7 Tangu siku za mababu zetu mpaka leo hii tumekuwa na hatia kubwa;+ na kwa sababu ya makosa yetu, sisi, wafalme wetu, na makuhani wetu, tumetiwa mikononi mwa wafalme wa nchi nyingine, tumeuawa kwa upanga,+ tumepelekwa utekwani,+ tumeporwa,+ tumetiwa aibu, kama ilivyo leo.+

  • Isaya 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Jiosheni, jisafisheni;+

      Ondoeni matendo yenu maovu mbele za macho yangu;

      Acheni kutenda mabaya.+

  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mtu mwovu na aiache njia yake+

      Na mtu mbaya mawazo yake;

      Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+

      Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+

  • Hosea 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Enyi Waisraeli, mrudieni Yehova Mungu wenu,+

      Kwa maana mmejikwaa kwa sababu ya kosa lenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki